Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 7:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Lakini yeye aliyesimama kwa uthabiti wa moyo wake, hana sharti, lakini aweza kuitawala nia yake, tena amekusudia moyoni mwake kumlinda bikira wake, atenda vyema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Lakini kama huyo mwanamume akiamua kwa hiari moyoni mwake kutooa na kama anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya, basi, anafanya vizuri zaidi asipomwoa huyo mwenzake bikira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Lakini kama huyo mwanamume akiamua kwa hiari moyoni mwake kutooa na kama anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya, basi, anafanya vizuri zaidi asipomwoa huyo mwenzake bikira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Lakini kama huyo mwanamume akiamua kwa hiari moyoni mwake kutooa na kama anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya, basi, anafanya vizuri zaidi asipomwoa huyo mwenzake bikira.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Lakini mwanaume ambaye ameamua moyoni mwake kutooa bila kulazimishwa na mtu yeyote, bali anaweza kuzitawala tamaa zake kutomwoa huyo mwanamwali, basi anafanya ipasavyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Lakini mwanaume ambaye ameamua moyoni mwake kutooa bila kulazimishwa na mtu yeyote, bali anaweza kuzitawala tamaa zake kutomwoa huyo mwanamwali, basi anafanya ipasavyo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:37
6 Marejeleo ya Msalaba  

BASSI kwa mambo yale mliyoniandikia, ni kheri mwanamume asiguse mwanamke.


Lakini mtu awae yote akiona ya kuwa hamtendei bikira wake vipendezavyo, na ikiwa amepita uzuri wa ujana wake, na kama pana haja, bassi, afanye apendavyo, hafanyi dhambi; na waoane.


Bassi, amwozae bikira wake afanya vyema; na yeye asiyemwoza afanya vyema zaidi.


Killa mtu na atende alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoae kwa moyo wa ukunjufu.


lichungeni kundi la Kristo lililo kwenu, na kulisimamia, si kwa kulazimishwa, bali kwa khiari; si kwa kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo