Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 7:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Lakini kwa sababu ya mambo ya zina killa mtu na awe na mke wake mwenyewe, na killa mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 lakini kwa sababu ya hatari ya uzinzi, basi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 lakini kwa sababu ya hatari ya uzinzi, basi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 lakini kwa sababu ya hatari ya uzinzi, basi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Lakini ili kuepuka zinaa, kila mwanaume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Lakini ili kuepuka zinaa, kila mwanaume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

bali mimi nawaambieni, Killa mtu amwachae mkewe, isipokuwa kwa khabari ya asharati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.


Ikimbieni zina. Killa dhambi aifanyayo mwana Adamu ni nje ya mwili wake; bali yeye afanyae zina hufanya dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.


BASSI kwa mambo yale mliyoniandikia, ni kheri mwanamume asiguse mwanamke.


Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.


Lakini kama hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka moto.


Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendae mkewe hujipenda nafsi yake;


Illakini killa mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; na mke asikose kumstahi mumewe.


killa mmoja wenu ajue kuuweza mwili wake katika utakatifu na heshima,


wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru kujiepusha na vyakula ambavyo Mungu aliviumba vopokewe kwa shukrani na walio na imani na wenye kuijua sana kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo