Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 6:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Bali mwashitakiana, ndugu na ndugu, tena mbele yao wasioamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini!

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 6:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya pili yake akawatokea walipokuwa wakishindana, akataka kuwapatanisha, akisema, Enyi bwana zangu, ninyi m ndugu: Mbona mnadhulumiana?


JE! mtu wa kwenu akiwa na neno juu ya mwenzake athubutu kuhukumiwa mbele ya wasio haki wala si mbele ya watakatifu?


Bassi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi. Maana si afadhali kudhulumiwa? Maana si afadhali kunyangʼanywa mali zenu?


Msifungiwe kongwa pamoja na wasioamini, wasio na tabia kama zenu; kwa maana pana shirika gani kati ya haki na uasi? tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?


Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Belial? Au aammiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini? Tena pana mapatano gani ya hekalu ya Mungu na sanama?


Lakini mtu asiyewatunza walio wake na khassa watu wa nyumba yake ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo