Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 6:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Bassi, mkiwa ita mahali yanapohukumiwa mambo ya maisha haya, wekeni hao waliohesabiwa kuwa si kitu katika kanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, je, mnachagua watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kundi la waumini kuwa waamuzi kati yenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, chagueni kuwa waamuzi, watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kundi la waumini.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 6:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana yanikhusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu walio ndani?


Hamjui ya kuwa tutawahukumu malaika, bassi si zaidi sana mambo ya maisha haya?


Nasema haya nipate kuwatahayarisheni. Je! ndivyo hivyo, kwamba kwenu hakuna hatta mtu mmoja mwenye hekima, awezae kukata maneno ya ndugu zake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo