Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 6:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja nae.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Lakini mtu aliyeungwa na Bwana Isa anakuwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Lakini mtu aliyeungwa na Bwana Isa anakuwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 6:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.


Lakini ikiwa Roho ya Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamfuati mambo ya mwili, bali mambo ya roho. Lakini mtu aliye yote asipokuwa na Roho ya Kristo, huyo si mtu wake.


Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa tukaingia katika mwili mmoja, ikiwa tu Wayahudi, au ikiwa tu Wayunani; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru; nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja.


Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Bassi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaha? Hasha!


Nimesulibiwa pamoja na Kristo, illakini ni hayi; wala si mimi tena, bali Kristo yu hayi ndani yangu; na uhayi nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu aliyenipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.


kwa kuwa tu viungo vya mwili wake, na nyama yake, na mifupa yake.


Maana mwe na nia lili ndani yenu iliyokuwamo na ndani ya Yesu Kristo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo