1 Wakorintho 6:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Na Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua na sisi kwa uweza wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Naye Mungu aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Naye Mungu aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake. Tazama sura |