Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 5:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Maana yanikhusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu walio ndani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio nje ya kundi la waumini? Je, si mnapaswa kuwahukumu hao walio ndani?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio nje ya kundi la waumini? Je, si mnapaswa kuwahukumu hao walio ndani?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 5:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu; hali wale walio nje yote huwawia kwa mifano,


Akamwambia, Ee mwana Adamu, nani aliyemweka kuwa kadhi au mgawanyi juu yenu?


Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu, kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu: watumishi wangu wangalinipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi: lakini sasa ufalme wangu sio wa hapa.


Enendeni kwa hekima mbele vao walio nje, mkiukomboa wakati.


illi mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na baja ya cho chote.


Imempasa tena kushuhudiwa mazuri na watu walio nje; asitumbukie katika lawama na mtego wa Shetani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo