Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 4:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Kwangu, lakini, si kitu kabisa nibukumiwe na ninyi, ama na hukumu ya kibinadamu, wala sijihukumu hatta nafsi yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na nyinyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu mimi mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na nyinyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu mimi mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na nyinyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu mimi mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 4:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Msihukumu hukumu ya macho, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Lakini mtu wa rohoni huvatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.


kazi ya killa mtu itakuwa dhahiri. Maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa yafunuliwa katika moto; na ule moto utajaribu kazi ya killa mtu, ni wa namna gani.


Tena inayohitajiwa katika mawakili, ndio mtu aonekane amini.


Maana sijui sababu ya kujishitaki nafsi yangu, lakini sihesabikiwi haki kwa ajili hiyo; illa aninukumuye ni Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo