Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 4:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Mnataka nini? Nije kwenu na fimbo, au katika upendo na roho ya upole?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 4:21
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wengine wamejivuna kana kwamba siji kwenu.


kumtolea Shetani mtu huyo, mwili uadhibiwe, illi roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu.


Lakini mimi namwitia Mungu awe shahidi juu ya roho yangu, ya kwamba, kwa kuwahurumia sijaenda Korintho.


tukiwa tayari kupatiliza maasi yote, kutii kwenu kutakapotimia.


Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga ninyi wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Nalimwonya Tito, nikamtuma yule ndugu pamoja nae. Je! Tito aliwatoza kitu? Hatukuenenda kwa Roho yeye yule na katika nyayo zile zile?


Kwa biyo, naandika liayo nisipokuwapo, illi, nikiwapo, nisitumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana illi kujenga wala si kubomoa.


Nimetangulia kuwaambia: na kama vile nilipokuwapo marra ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo natangulia kuwaambia wao waliofanya dhambi zamani, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia:


LAKINI nafsini mwangu nalikusudia hivi, nisije kwenu tena kwa huzuni.


Nami naliwaandikia neno lili hili, illi, nijapo nisitiwe huzuni na wale ambao ilinipasa kuwafurahia; nikiwatumainia ninyi nyote kwamba furaha yangu ni yenu nyote pia.


Maana hatta ile iliyotukuzwa haikuwa na utukufu kwa sababu hii, kwa ajili ya utukufu uzidio sana.


NDUGU, mtu ajapogbafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrudini mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako nsijaribiwe wewe mwenyewe.


bali tulikuwa wapole kati yenu, kama vile mlezi awatunzavyo watoto wake mwenyewe.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole,, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina wala unafiki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo