1 Wakorintho 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Siyaandiki haya illi kuwatahayarisha, hali kuwaonya kama watoto niwapendao. Maana ijapokuwa mna waalimu elfu katika Kristo, illakini hamna baba wengi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha nyinyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni watoto wangu wapenzi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha nyinyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni watoto wangu wapenzi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha nyinyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni watoto wangu wapenzi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa. Tazama sura |