Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 3:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Kama ni hivyo, apandae si kitu, wala atiae maji, bali Mungu akuzae.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Wa maana si yule aliyepanda mbegu, au yule aliyemwagilia maji; wa maana ni Mungu aliyeiwezesha mbegu kuota.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Wa maana si yule aliyepanda mbegu, au yule aliyemwagilia maji; wa maana ni Mungu aliyeiwezesha mbegu kuota.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Wa maana si yule aliyepanda mbegu, au yule aliyemwagilia maji; wa maana ni Mungu aliyeiwezesha mbegu kuota.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 3:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi mzabibu; ninyi matawi; akaae ndani yangu, na mimi ndani yake, huyu huzaa Sana; maana pasipo mimi hamwezi kufanya neno.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama simi upendo, si kitu mimi.


Mimi nilipanda, Apollo akatia maji; bali mwenye kukuza ni Mungu.


Bassi yeye apandae, na yeye atiae maji ni kitu kimoja, na killa mtu atapata thawabu yake mwenyewe sawasawa na taabu yake mwenyewe.


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu, nijapokuwa si kitu.


Akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Bassi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, illi uweza wa Kristo ukae juu yangu.


Maana mtu akijiona kuwa kitu, nae si kitu, ajidanganya nafsi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo