1 Wakorintho 3:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Maana hapo mtu mmoja anenapo, Mimi ni wa Paolo; na mwingine, Mimi ni wa Apolio, je! hamwi watu wa tabia za mwilini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mmoja wenu anaposema, “Mimi ni wa Paulo”, na mwingine, “Mimi ni wa Apolo”, je, hiyo haionyeshi kwamba mnaishi bado kama watu wa dunia hii tu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mmoja wenu anaposema, “Mimi ni wa Paulo”, na mwingine, “Mimi ni wa Apolo”, je, hiyo haionyeshi kwamba mnaishi bado kama watu wa dunia hii tu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mmoja wenu anaposema, “Mimi ni wa Paulo”, na mwingine, “Mimi ni wa Apolo”, je, hiyo haionyeshi kwamba mnaishi bado kama watu wa dunia hii tu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida? Tazama sura |