Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 3:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 vyote ni vyenu, na ninyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Lakini nyinyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Lakini nyinyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Lakini nyinyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 na ninyi ni wa Al-Masihi, naye Al-Masihi ni wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 na ninyi ni wa Al-Masihi, naye Al-Masihi ni wa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 3:23
16 Marejeleo ya Msalaba  

Alipokuwa akisema, wingu jeupe likawatia uvuli; sauti ikatoka katika lile wingu, ikinena, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, niliyependezwa nae; msikieni yeye.


Kama ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo naliwatuma wao ulimwenguni.


Wote wawe umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, na mimi ndani yako, illi na hawa wawe umoja ndani yetu: ulimwengu upate kuamini kwamba ndiwe uliyenituma.


Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Bassi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana.


Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha killa mwanamume ni Kristo na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.


Lakini killa mmoja mahali pake; limbuko Kristo; baadae walio wake Kristo, atakapokuja.


Bassi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe nae atatiishwa chini yake aliyemtiishia vitu vyote, illi Mungu awe yote katika yote.


Kwa maana yeye aliyekwitwa katika Bwana hali ya utumwa, ni huru wa Bwana. Vivyo hivyo yeye nae aliyekwitwa hali ya uhuru, ni mtuniwa wa Kristo.


illakini kwetu sisi yuko Mungu mmoja tu, aliye Baba, ambae vitu vyote vimetokana nae, na sisi twarejea kwake; na yuko Bwana mmoja Yesu Kristo, ambae kwa sabiki yake vitu vyote vimekuwa, na sisi kwa sabiki yake.


Je! mnayaangalia yaliyo mbele ya macho yenu? Mtu akijitumainia nafsi yake ya kuwa yeye ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo na sisi tu watu wa Kristo.


Na kama ninyi ni wa Kristo, bassi, nimekuwa mzao wa Ibrahimu, na wrarithi kwa ahadi.


Nao walio watu wa Kristo Yesu wameusulibisha niwili pamoja na mawazo mabaya na tamaa mbaya.


ya kwamba wakati mkamilifu utakapowadia atajumlisha vitu vyote viwe umoja katika Kristo, vitu vilivyo mbinguni, navyo vilivyo duniani, katika yeye huyu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo