Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 3:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Maana hekima ya dunia hii ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasae wenye hekima katika hila yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mwenyezi Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,”

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 3:19
22 Marejeleo ya Msalaba  

Illakini iko hekima tusemayo kati ya wakamilifu; nayo si hekima ya dunia hii, wala yao wanaoitawala dunia hii, wanaobatilishwa;


Mambo haya, ndugu, nimeyafanya kuwa mfano wa mimi na wa Apollo kwa ajili yemi, illi kwa khabari zetu mpate kujifunza katika fikara zenu kutokuruka mpaka wa yale yaliyoandikwa; mtu mmoja asijivune juu ya mwenziwe, kwa ajili ya mtu mwingine.


illi tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukulivva kwa killa upepo wa elimu, kwa bila ya watu, kwa ujanja, tukifuata njia za udanganyifu;


Hekima hii siyo ile ishukayo kutoka juu, bali ni ya dunia, na ya tabia ya kibinadamu, na ya Shetani,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo