Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 3:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Kazi ya mtu aliyoijenga juu yake ikikaa, atapata thawabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 3:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi yeye apandae, na yeye atiae maji ni kitu kimoja, na killa mtu atapata thawabu yake mwenyewe sawasawa na taabu yake mwenyewe.


Bassi msihukumu neno kabla ya wakati wake, mpaka ajapo Bwana; nae atayamulika yaliyosetirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo killa mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Maana nikiitenda kazi hii kwa khiari yangu nina thawabu; kama si kwa khiari yangu, illakini nimeaminiwa uwakili.


Lakini killa mtu aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakuwa na sababu ya kujisifu kwa nafsi yake tu, wala si kwa kujilinganislia na mwenzake.


Maana tumnini letu, au furaha yetu, an taji ya kujisifu ni nini? Si ninyi, mbele za Bwana wetu Yesu Kristo wakati wa kuja kwake?


Nimevifanya vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;


NAWASIHI wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao, na shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu utakaofunuliwa baadae;


Na mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya utukufu, ile isiyokauka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo