1 Wakorintho 2:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 ambayo wenye kutawala dunia hii hawakuijua hatta mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangaliielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangaliielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangaliielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangeelewa, hawangemsulubisha Bwana wa utukufu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. Tazama sura |