Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 2:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 imani yenu isiwe katika hekima ya wana Adamu, bali katika nguvu za Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 2:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanamke mnioja, jina lake Ludia, mwenye kuuza rangi ya zambarao, mwenyeji wa Thuatira, mcha Mungu, akatusikiliza. Moyo wake huyu ukafunguliwa na Bwana, ayaangalie mineno yaliyonenwa na Paolo.


Maana Kristo hakunituma illi nibatize, bali niikhubiri Injili; wala si kwa hekima ya maneno, msalaba wa Kristo nsije nkabatilika.


Mimi nilipanda, Apollo akatia maji; bali mwenye kukuza ni Mungu.


Akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Bassi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, illi uweza wa Kristo ukae juu yangu.


Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, illi adhama ya uwezo iwe ya Mungu, wala si yetu sisi.


katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa silaha za wema za mkono wa kuume na za mkono wa kushoto,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo