Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na khofu na matetemeko mengi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 2:3
22 Marejeleo ya Msalaba  

WAKIISHA kupita kati ya Amfipoli na Apollonia wakafika Thessalonika, na hapo palikuwa na sunagogi la Wayahudi.


BAADA ya mambo haya Paolo akatoka Athene akalika Korintho.


Hatta Gallio alipokuwa Prokonsuli wa Akaya, Wayahudi wakamwendea Paolo kwa nia moja, wakamleta mbele ya kiti cha hukumu,


Walipopingamana nae na kutukana, akakungʼuta mavazi yake, akawaambia, Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu: mimi ni safi: langu sasa nitakwenda kwa watu wa mataifa.


NAMI Paolo, nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo, mimi niliye mnyenyekevu niwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo mwenye ujasiri kwenu;


Maana wasema, Nyaraka zake nzito, hodari; bali akiwapo mwenyewe mwilini yu dhaifu, na maneno yake hayawi kitu.


Maana, ijapokuwa alisulibiwa katika udhaifu, illakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; bali tutaishi pamoja nae kwa uweza wa Mungu ulio ndani yenu.


Maana twafurahi, sisi tulipo dhaifu, na ninyi hodari. Tena twaomba hili nalo, mtimilike.


KWA sababu hiyo, kwa kuwa tuna khuduma hii, kwa jinsi tulivyorehemiwa, hatulegei;


Kwa hiyo hatuzimii; bali ijapokuwa mtu wetu wa nje unaharibiwa, illakini mtu wetu wa ndani unafanywa npya siku baada ya siku.


bali katika killa neno tukijipatia sifa njema, kama wakhudumu wa Mungu, katika saburi nyingi, kalika mateso, katika shidda, katika taabu,


Na mapenzi yake kwenu yamekuwa mengi kupita kiasi, akumbukapo kutii kwenu ninyi nyote, jinsi mlivyomkaribisha kwa khofu na kutetemeka.


Kwa maana hatta tulipokuwa tumelikia Makedonia miili yetu haikupata nafuu; bali tuliteswa kote kote; nje palikuwa na vita, ndani khofu.


Watumwa, watiini walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili kana kwamba ni kumtii Kristo, kwa khofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo