Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 16:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Lakini nitakaa katika Efeso mpaka Pentekote;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini nitakaa Efeso hadi wakati wa Pentekoste,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini nitakaa Efeso mpaka wakati wa Pentekoste,

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 16:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakalika Efeso, akawaacha huko. Yeye mwenyewe akaingia katika sunagogi, akahujiana na Wayahudi.


bali aliagana nao, akisema. Sina buddi kufanya siku kuu hii inayokuja Yerusalemi: lakini nitarejea kwenu, Mungu akinijalia.


IKAWA, Apollo alipokuwa Korintho, Paolo, akiisba kupita kati ya inchi za juu, akafika Efeso: akakutana na wanafunzi kadha wa kadba huko:


HATTA ilipotimia siku ya Pentekote walikuwako wote pamoja mahali pamoja.


Kwa sababu Paolo amekusudia kupita Efeso merikebuni, asije akakawia katika Asia: kwa maana alikuwa akifanya haraka, akitaka kuwahi Yerusalemi siku ya Pentekote, kama ikiwezekana.


Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nalipigana na nyama wakali kule Efeso, nina faida gani wasipofufuka wafu? Tule, tukanywe, maana kesho tutakufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo