Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 16:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Mtu aliye yote asiyempenda Bwana Yesu Kristo, na awe anathema. Maranatha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANATHA – BWANA, NJOO!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANATHA – BWANA, NJOO!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANATHA — BWANA, NJOO!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kama mtu yeyote hampendi Bwana Isa Al-Masihi, na alaaniwe. Bwana wetu Isa, njoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kama mtu yeyote hampendi Bwana Isa Al-Masihi, na alaaniwe. Bwana wetu Isa, njoo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 16:22
32 Marejeleo ya Msalaba  

Apendae baba au mama kuliko mimi, hanifai; na apendae mwana au binti kuliko mimi hanifai.


Mkinipenda mtazishika amri zangu.


Aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendae; nae anipendae atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda, na kujidhihirisha kwake.


Yesu akajibu akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.


Kama singalitenda kazi kwao asizozitenda mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi; sasa wametuona mimi na Baba yangu, na kutuchukia.


Yeye atanitukuza mimi: kwa kuwa atatwaa katika iliyo yangu, atawapasheni khabari.


Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu mngenipenda mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu, na nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma.


Nao wakaenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, Tumejifunga kwa kiapo, tusionje kitu hatta tutakapomwua Paolo.


Kwa maana naliomba mimi mwenyewe niharamishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili;


Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hapana mtu asemae katika Roho ya Mungu, anenae, Yesu ni anathema; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Neema iwe pamoja na wote wampendao Bwana wetu Yesu pasipo hila. Amin.


Upole wenu ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.


maana Mungu si dhalimu hatta asahau kazi zenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewakhudumia watakatifu, na hatta hivi sasa mngali mkiwakhudumia.


ambae mwampenda, ijapokuwa hamkumwona: ambae ijapokuwa hamwoni sasa, mnamwamini, na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, iliyotukuzwa,


Bassi, thamani hii ni kwenu ninyi mnaoamini, bali kwao wasioamini, Jiwe walilolikataa waashi, Limekuwa jiwe kuu la pembeni;


Sisi twapenda kwa maana yeye kwanza alitupenda sisi.


KILLA mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo amezaliwa na Mungu. Na killa mtu ampendae mwenye kuzaa ampenda na yeye mwenye kuzaliwa nae.


Yeye mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam; Naja upesi. Amin: na uje Bwana Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo