Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 16:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Nami nafurahi, kwa sababu ya kuwako kwao Stefano na Fortunato na Akaiko; maana hawa wamenikarimia kwa wingi nilivopungukiwa kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Nilifurahi Stefana, Fortunato na Akaiko walipofika, kwa sababu wamenipatia yale niliyopungukiwa kutoka kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Nilifurahi wakati Stefana, Fortunato na Akaiko walipofika, kwa sababu wamenipatia yale niliyopungukiwa kutoka kwenu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 16:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nalibatiza watu wa nyumba ya Stefano; zaidi ya hao, sijui kama nalimbatiza mtu mwingine.


Nami nilipokuwa pamoja nanyi na kuhitaji sikumlemea mtu. Maana ndugu walipokuja kutoka Makedonia walinipa kadiri ya mahitaji yangu; na katika mambo yote nalijilinda nafsi yangu nisiwalemee hatta kidogo; tena nitajilinda.


Illakini Mungu, mwenje kuwafariji wanyonge, alitufariji kwa kuwapo kwake Tito.


Maana kwa ajili ya kazi ya Kristo alikaribia kufa, asiutunze uhayi wake; illi kusudi ayatimize yaliyopungua katika khuduma yenu kwangu.


ambae mimi nalimtaka akae nami, apate kunikhudumia hadala yako katika mafungo ya Injili;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo