Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 16:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Mambo yenu yote yatendeke katika upendo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Fanyeni kila kitu katika upendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Fanyeni kila kitu katika upendo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 16:14
22 Marejeleo ya Msalaba  

Haya nawaamuru, mpate kupendana.


Na ndugu yako akiingia huzuni kwa sababu ya chakula, umeacha kwenda katika upendo. Kwa chakula chako usimharibu mtu yule ambae Kristo alikufa kwa ajili yake.


Na tena nawaonyesha njia iliyo bora sana.


UFUATIENI upendo, katakeni sana karama za rohoni, lakini zaidi mpate kukhutubu.


Tena nawasihi, ndugu, (mnaijua nyumba ya Stefano kwamba ni malimbuko ya Akaia, nao wamejitia katika kazi ya kuwakhudumu watakatifu),


NA kwa khabari ya vitu, vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; Twajua ya kuwa sisi sote tuna elimu. Elimu huleta majivuno, bali upendo hujenga.


Lakini matunda ya Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Bwana na awaongozeni na kuwazidisheni katika upendo, ninyi kwa ninyi, na kwa watu wote, kama vile na sisi kwenu;


Lakini Timotheo alipotujia siku hizi kutoka kwenu, akatuletea khabari njema za imani yenu na upendo wenu, na ya kwamba mnatukumbuka vema siku zote: mkitamani kutuona sisi vile vile kama sisi ninyi;


Imetupasa kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu, kama ilivyo wajib, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa killa mtu kwenu kwa wenzake umekuwa mwingi.


Bali kusudi la mausia hayo ni upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki:


Ndoa iheshimiwe na watu wote, na malalo yawe safi: kwa maana waasharati na wazinzi Mungu atawahukumu.


zaidi ya yote mwe na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husetiri wingi wa dhambi;


na katika utawa wenu upendano wa ndugu, na katika upendano wa ndugu, upendo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo