1 Wakorintho 16:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 KWA khabari ya ile changizo kwa ajili ya watakatifu, kama vile nilivyoamuru makanisaya Galatia, na ninyi fanyeni vivyo hivyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: Fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: Fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Basi kuhusu changizo kwa ajili ya watakatifu: Kama nilivyoyaagiza makundi ya waumini ya Galatia, fanyeni vivyo hivyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Basi kuhusu changizo kwa ajili ya watakatifu: Kama nilivyowaagiza waumini wa Galatia, fanyeni vivyo hivyo. Tazama sura |