Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Maana mimi mdogo katika mitume, nisiyestahili kutajwa mtume, kwa sababu naliliudhi Kanisa la Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume, na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume, na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume, na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kwa maana mimi ndiye mdogo kuliko mitume wote, nisiyestahili kuitwa mtume, kwa sababu niliwatesa waumini wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwa maana mimi ndiye mdogo kuliko mitume wote, nisiyestahili kuitwa mtume, kwa sababu niliwatesa waumini wa Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Saul akaliharibu kanisa, akiingia killa nyumba, na kuwabarura wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.


Msiwakoseshe Wayahudi wala Wayunaui wala Kanisa la Mungu:


Maana nadhani ya kuwa mimi sikupungukiwa kitu walicho nacho mitume walio wakuu.


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu, nijapokuwa si kitu.


Maana mmesikia khabari za mwenendo wangu zamani katika dini ya Kiyahudi, kwamba naliliudhi kanisa la Mungu kupita kiasi nikaliharibu,


ilia wamesikia tu ya kwamba yeye aliyetuudhi kwanza sasa anaikhubiri imani ile aliyoiharibu zamani.


kwa jinsi ya haki ipatikanayo kwa sharia sikuwa na khatiya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo