Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:56 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

56 Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni sharia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

56 Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

56 Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

56 Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

56 Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

56 Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:56
15 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi Yesu akawaambia tena, Mimi naondoka, nanyi mtanitafuta, na mtakufa katika dhambi yenu: niendako mimi, ninyi hamwezi kuja.


Bassi naliwaambieni ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa kuwa msipoamini ya kuwa mimi ndiye, mtakufa katika dhambi zenu.


Kwa sababu sharia ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipo sharia, hapana kosa.


Lakini kipawa kile hakikuwa kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kuanguka kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho katika neema ya mtu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.


Kwa maana ikiwa kwa kuteleza mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo.


Sharia iliingia illi anguko lile liwe kubwa sana; na dhambi ilipozidi, neema ilikuwa nyingi zaidi;


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; hali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Na jinsi watu wanavyowekewa kufa marra moja, na baada ya kufa hukumu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo