Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:53 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

53 Maana sharti huu wenye uharibifu uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Kwa maana mwili huu wa kuharibika lazima uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae kutokufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Kwa maana mwili huu wa kuharibika lazima uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae kutokufa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:53
7 Marejeleo ya Msalaba  

wakaubadili utukufu wa Mungu asiye ua uharibifu kwa mfano wa sura ya bin-Adamu aliye ua uharibifu, na ya nyama wenye mbawa, na ya nyama wenye miguu mine, na ya nyama watambaao.


wale ambao kwa kustahimili katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoa kuharibika, nzima wa milele;


Maana ninyi nyote mliobatizwa na kuingizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.


mkavae mtu mpya, aliyeumbwa kwa namna ya Mungu katika baki na utakatifu wa kweli.


Wapenzi, sasa tu wana wti Mungu, wala haijadhihirika bado tutakidokuwa: lakini twajua ya kuwa akidhihiri, tutafanana nae; kwa maana tutamwona kama alivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo