1 Wakorintho 15:50 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192150 Nisemayo ni haya, ndugu, ya kuwa nyama na damu haziwezi kuurithi ufalme wa Mungu; wala uharibifu kurithi kutokuharihika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Basi, ndugu, nasema hivi: Kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki ufalme wa Mungu; na chenye kuharibika hakiwezi kuwa na hali ya kutoharibika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Basi, ndugu, nasema hivi: Kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki ufalme wa Mungu; na chenye kuharibika hakiwezi kuwa na hali ya kutoharibika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Basi, ndugu, nasema hivi: kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki ufalme wa Mungu; na chenye kuharibika hakiwezi kuwa na hali ya kutoharibika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Ndugu zangu nisemalo ni hili: mwili na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu, wala kuharibika kurithi kutokuharibika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Ndugu zangu nisemalo ni hili: nyama na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mwenyezi Mungu, wala kuharibika kurithi kutokuharibika. Tazama sura |