Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na killa mbegu mwili wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, illa punje tupu, ikiwa ya nganu au nyingineyo;


Nyama yote si nyama moja; bali nyingine ya wana Adamu, nyingine ya ngʼombe, nyingine ya ndege, nyingine ya samaki.


Kama ni hivyo, apandae si kitu, wala atiae maji, bali Mungu akuzae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo