Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Mpumbavu! uipandayo wewe haihuiki, isipokufa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Ninyi wapumbavu kiasi gani? Mpandacho hakiwi hai kama hakikufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Ninyi wapumbavu kiasi gani? Mpandacho hakiwi hai kama hakikufa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wapumbavu, yeye aliyekifauya cha nje, siye aliyekifanya cha ndani naebo?


Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo, wanakutaka roho yako. Nayo uliyojiwekea tayari yatakuwa ya nani?


Nae akawaambia, Enyi wapumbavu, na wenye mioyo mizito katika kuyaamini yote waliyoyasema manabii!


Amin, amin, nawaambieni, Punje ya nganu isipoanguka katika inchi ikafa, hukaa katika hali ya peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.


wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika,


nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, illa punje tupu, ikiwa ya nganu au nyingineyo;


Angalieni sana, bassi, jinsi mnavyoenenda, si kama watu wasio hekima, bali kama wenye hekima;


Lakini wataka kujua, wewe mwana Adamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo