Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Kwa nini wakabatizwa kwa ajili yao? Na sisi, kwa nini tumo khatarini killa saa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Nasi kwa upande wetu kwa nini tunajihatarisha kila saa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Nasi kwa upande wetu kwa nini tunajihatarisha kila saa?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na walipokuwa wakienda kwa matanga akalala usingizi. Ikashuka dharuba ya upepo juu ya ziwa, chombo kikaanza kujaa maji, wakawa katika khatari.


Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje, bassi, kama wafu hawafufuki?


Naam, kwa huku kujisifu kwangu niliko nako juu yenu katika Kristo Yesu Bwana wetu, ninakufa killa siku.


kama wasiojulika, bali wajulikao sana; kama wanaokufa, kumbe tu hayi; kama wanaorudiwa, bali wasiouawa;


Na mimi, ndugu, ikiwa ninakhubiri khabari ya kutahiriwa, mbona ningali nikiudhiwa? Hapo kwazo la msaiaba limebatilika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo