Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje, bassi, kama wafu hawafufuki?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Basi kama hakuna ufufuo, watafanyaje wale wabatizwao kwa ajili ya wafu? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, mbona watu wanabatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Basi kama hakuna ufufuo, watafanyaje wale wabatizwao kwa ajili ya wafu? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, mbona watu wanabatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu akasema, Hamjui mnaloliomha. Mwaweza kuuywea kikombe nitakachonywea mimi, na kubatizwa ubatizo nibatizwao mimi? Wakamwambia, Twaweza.


wakabatizwa nae mtoni Yordani, wakiziungama dhambi zao.


Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo nae hakufufuliwa.


Bassi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe nae atatiishwa chini yake aliyemtiishia vitu vyote, illi Mungu awe yote katika yote.


Kwa nini wakabatizwa kwa ajili yao? Na sisi, kwa nini tumo khatarini killa saa?


Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nalipigana na nyama wakali kule Efeso, nina faida gani wasipofufuka wafu? Tule, tukanywe, maana kesho tutakufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo