Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Bassi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe nae atatiishwa chini yake aliyemtiishia vitu vyote, illi Mungu awe yote katika yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini vitu vyote vitakapowekwa chini ya utawala wa Kristo, ndipo naye Mwana atakapojiweka chini ya Mungu, aliyeweka vyote chini ya utawala wake; ili Mungu atawale juu ya vyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini vitu vyote vitakapowekwa chini ya utawala wa Kristo, ndipo naye Mwana atakapojiweka chini ya Mungu, aliyeweka vyote chini ya utawala wake; ili Mungu atawale juu ya vyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini vitu vyote vitakapowekwa chini ya utawala wa Kristo, ndipo naye Mwana atakapojiweka chini ya Mungu, aliyeweka vyote chini ya utawala wake; ili Mungu atawale juu ya vyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Atakapokuwa amekwisha kuyafanya haya, ndipo Mwana mwenyewe atatiishwa chini yake yeye aliyetiisha vitu vyote, ili Mungu awe yote katika yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Atakapokuwa amekwisha kuyafanya haya, ndipo Mwana mwenyewe atatiishwa chini yake yeye aliyetiisha vitu vyote, ili Mungu awe yote katika yote.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:28
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia, Nakwenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi, kwa sababu nashika njia kwenda kwa Baba: kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.


Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha killa mwanamume ni Kristo na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.


pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu yule yule azitendae kazi zote katika wote.


Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje, bassi, kama wafu hawafufuki?


vyote ni vyenu, na ninyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.


lililo mwili wake, ukamilifu wake akamilishae vitu vyote katika vyote.


atakaeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule awezao kuvitiisha hatta na vitu vyote chini yake.


Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mshenzi wala Mskuthi, mtumwa wala mungwana, bali Kristo ni yote, na katika wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo