Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Adui wa mwisho atakaebatilishwa ni mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

kwa kuwa hawawezi kufa tena, maana huwa sawasawa na malaika; tena ni wana wa Mungu kwa kuwa wana wa ule ufufuo.


U wapi, mauti, uchungu wako? Ku wapi, kaburi, kushinda kwako?


na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Yesu Kristo, aliyebatili mauti na kuufunua uzima ua kutoa kuharibika, kwa ile Injili,


Bassi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye nae vivyo hivyo alishiriki yayo bayo, illi kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani Shetani,


Bahari ikawatoa wafu waliomo ndani yake. Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu walio ndani yake. Wakahukumiwa killa mtu kwa kadiri ya matendo yao.


Mauti na Kuzimu wakatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili.


Nae atafuta killa chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena: wala maombolezo, wala kilio, wala taabu haitakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo