Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hivyo basi, wote waliolala katika Al-Masihi wamepotea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hivyo basi, wote waliolala katika Al-Masihi wamepotea.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala.


baadae alionekana na ndugu zaidi ya khamsi mia pamoja; katika hao walio wengi wanaishi hatta sasa, wengine wamelala;


Maana twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hayi, tutakaosalia hatta wakati wa kuja kwake Bwana, hatutawatangulia wao waliokwisha kulala.


Kwasababu Bwana mwenyewe atasbuka kutoka mbinguni na sauti kuu na sauti ya malaika mkuu, na panda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo, watafufuliwa kwanza;


Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Wa kheri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; na matendo yao yafuatana nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo