Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Na kama Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni burre; mngali katika dhambi zenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Tena kama Al-Masihi hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Tena kama Al-Masihi hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu kuyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toha na masamaha ya dhambi.


aliyetolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa illi tupate kupewa haki.


Kwa maana tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.


tena kama Kristo hakufufuliwa, bassi, kukhubiri kwetu ni burre na imani yenu ni burre.


Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo nae hakufufuliwa.


na kwa hiyo mnaokolewa, ikiwa mnayashika sana maneno niliyowakhuhirieni; isipokuwa mliamini burre.


ambae kwa yeye mlimwamini Mungu, aliyemfufua akampa utukufu; hatta imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.


Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambae kwa rehema zake nyingi alituzaa marra ya pili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuliwa kwake Yesu Kristo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo