Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo nae hakufufuliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Al-Masihi hajafufuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Al-Masihi hajafufuka.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Yesu ataihuisha na miili yemi iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho yake anayekaa ndani yenu.


Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uwongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambae hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.


Na kama Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni burre; mngali katika dhambi zenu.


Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje, bassi, kama wafu hawafufuki?


na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maandiko;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo