Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo nae hakufufuliwa:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Al-Masihi hakufufuliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Al-Masihi hakufufuliwa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:13
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika na roho: bali Mafarisayo hukiri yote mawili.


Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Yesu ataihuisha na miili yemi iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho yake anayekaa ndani yenu.


Wala si hivyo tu, illa na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho tunaugua katika nafsi zetu, tukitazamia kufanywa wana, ukombozi wa mwili wetu.


Bassi, ikiwa Kristo amekhubiriwa kwenu ya kwamba amefufuka, mbona wengine wenu wasema kwamba hakuna kiyama ya wafu?


tena kama Kristo hakufufuliwa, bassi, kukhubiri kwetu ni burre na imani yenu ni burre.


Lakini sasa Kristo amefufuka, limbuko lao waliolala.


Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu Mungu atawaleta pamoja nae.


baada ya haya nimewekewa taji ya baki, ambayo Bwana mhukumu wa haki atanipa katika siku ile: wala si mimi tu, bali watu wote pia waliopenda kutokea kwake.


Bassi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka wafu Mchungaji wa kondoo aliye mkuu, kwa damu ya agano la milele, Bwana wetu Yesu,


Bassi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye nae vivyo hivyo alishiriki yayo bayo, illi kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani Shetani,


Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambae kwa rehema zake nyingi alituzaa marra ya pili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuliwa kwake Yesu Kristo,


na aliye hayi; nami nalikuwa nimekufa, na tazama ni hayi hatta milele na milele. Amin. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo