Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Bassi, kama ni mimi, kama ni wale, ndivyo tukhubirivyo, na ndivyo mlivyoamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hivyo basi, kama ilikuwa mimi au wao, hili ndilo tunalohubiri, na hili ndilo mliloamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hivyo basi, kama ilikuwa mimi au wao, hili ndilo tunalohubiri, na hili ndilo mliloamini.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si burre, bali nalizidi sana kushika kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali neema ya Mungu pamoja nami.


Bassi, ikiwa Kristo amekhubiriwa kwenu ya kwamba amefufuka, mbona wengine wenu wasema kwamba hakuna kiyama ya wafu?


Maana naliazimu nisijue neno kwenu illa Yesu Kristo, nae amesulibiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo