Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Anenae kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali akhutubuye hulijenga Kanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, bali atoaye unabii huwajenga waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, bali atoaye unabii hulijenga kundi la waumini.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na ishara hizi zitafuatana nao waaminio; Kwa jina langu watafukuza pepo; watasema kwa ndimi mpya;


Bassi kama ni hivyo, tufuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.


na mwingine kutenda kazi za miujiza; na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; na mwingine tafsiri za lugha;


Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kiisha miujiza, kiisha karama za kuponya wagonjwa, na masaidiano, na kutawala, na aina za lugha.


NIJAPOSEMA kwa lugha za wana Adamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upato uvumao.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama simi upendo, si kitu mimi.


Vivyo hivyo na ninyi, kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za roho, takeni mzidi sana kuwa nazo illi kulijenga Kanisa.


Bassi, lugha ni ishara, si kwao waaminio, bali kwao wasioamini. Lakini kukhutuhu si kwa ajili yao wasioamini, bali kwa ajili yao waaminio.


Imekuwaje bassi, ndugu? Mkutanapo pamoja, killa mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana lugha, ana ufunuo, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga.


Bali yeye akhutubuye, anena na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.


Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kukhutubu; maana yeye akhutubuye ni mkuu kuliko yeye anenae kwa lugha, isipokuwa afasiri, illi kusudi Kanisa lipate kujengwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo