Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:38
8 Marejeleo ya Msalaba  

Waacheni hawo; ni vipofu, viongozi wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumhukia shimoni wote wawili.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararueni.


Mtu akijiona kuwa nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue haya ninayowaandikieni, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Kwa ajili ya hayo, ndugu, takeni sana kukhutubu, wala msikataze kunena kwa lugha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo