Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Je! neno la Mungu limetoka kwenu tu? au limewafikia ninyi peke yenu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Je, neno la Mungu lilianzia kwenu? Au ni ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Je, neno la Mwenyezi Mungu lilianzia kwenu? Au ni ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:36
15 Marejeleo ya Msalaba  

WAKIISHA kupita kati ya Amfipoli na Apollonia wakafika Thessalonika, na hapo palikuwa na sunagogi la Wayahudi.


Nao walimsindikiza Paolo wakampeleka hatta Athene; na wakiisha kupokea maagizo kuwapelekea Sila na Timotheo, ya kama wasikawie kumfuata, wakaenda zao.


Na wakitaka kujifunza neno, na waulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu, wanawake kunena katika kanisa.


Mtu akijiona kuwa nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue haya ninayowaandikieni, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Maana ni nani anaekupambanua na mwingine? na una, nini usiyoipokea? Na iwapo uliipokea, wajisifiani kana kwamba hukuipokea?


Maana kutoka kwenu Neno la Mungu limevuma, si katika Makedonia na Akaya tu: bali na katika killa mahali imani yenu mliyo nayo kwa Mungu imeenea, hatta hatuna haja sisi kunena lo lote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo