Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Na wakitaka kujifunza neno, na waulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu, wanawake kunena katika kanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Wakitaka kuuliza kuhusu jambo lolote, wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana ni aibu kwa mwanamke kuzungumza katika kundi la waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Kama wakitaka kuuliza kuhusu jambo lolote, wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:35
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! sharia ya asili yenyewe haiwafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake;


Maana mwanamke asipofunikwa na anyoe. Au ikiwa ni unyonge mwanamke akate nywele zake au kunyoa, na afunikwe.


Wanawake wanyamaze katika kanisa, maana hawana rukhusa kunena; bali watii, kama vile inenavyo sharia nayo.


Je! neno la Mungu limetoka kwenu tu? au limewafikia ninyi peke yenu?


kwa kuwa yanayotendeka nao kwa siri, ni aibu hatta kuyanena.


Ninyi wanme kadhalika, kaeni na wake zenu kwa akili; mkimpa mke heshima, kama chombo kisieho nguvu, na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi sala zenu zisizuiliwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo