Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni Mungu wa amani. Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya watakatifu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kwa maana Mwenyezi Mungu si Mungu wa machafuko bali ni Mungu wa amani. Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya watakatifu,

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:33
15 Marejeleo ya Msalaba  

Utukufu una Mungu palipo juu, Na katika inchi amani, kwa watu aliowaridhia.


Lakini Anania akajibu, Bwana, nimesikia khabari za mtu huyu kwa watu wengi, mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako Yerusalemi:


Mungu wa amani awe pamoja nanyi nyote. Amin.


Lakini mtu aliye yote, akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu.


Na roho za manabii huwatii manabii.


Mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratihu.


Kwa hiyo nalimtuma Timotheo kwenu, aliye mwana wangu mpendwa, mwaminifu katika Bwana, atakaewakumbusha njia zangu zilizo katika Kristo, kama nifundishavyo killa pahali katika killa kanisa.


Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo ndugu mume au ndugu mke hafungiki.


Lakini Mungu alivyomgawia killa mtu—kama Mungu alivyomwita killa mtu, na aenende vivyo hivyo. Na ndivyo ninavyoagiza katika Makanisa yote.


Maana naogopa, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekane kwenu si kama vile mtakavyo: nisije nikakuta labuda fitina, na wivu, na hasira, na ugomvi, na masingizio, na manongʼonezo, na majivuno, na ghasia;


Lakini matunda ya Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Sasa, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani siku zote kwti njia zote. Bwana awe pamoja nanyi nyote.


Bassi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka wafu Mchungaji wa kondoo aliye mkuu, kwa damu ya agano la milele, Bwana wetu Yesu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo