1 Wakorintho 14:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192133 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni Mungu wa amani. Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya watakatifu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Kwa maana Mwenyezi Mungu si Mungu wa machafuko bali ni Mungu wa amani. Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya watakatifu, Tazama sura |