Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Na roho za manabii huwatii manabii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Roho za manabii huwatii manabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Roho za manabii huwatii manabii.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:32
14 Marejeleo ya Msalaba  

NA huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, Barnaba na Sumeon aitwae Niger, na Lukio Mkurene, na Manaen aliyekuwa ndugu wa kunyonya wa Herode mfalme, na Saul.


Kwa maana nyote mwaweza kukhutubu mmoja mmoja, illi wote wapate kujifunza, na wote wafarijiwe.


Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.


msifadhaishwe upesi na kuaeha nia yenu, wala msistushwe, kwa roho wala kwa neno, wala kwa waraka unaodhaniwa kuwa ni wetu, ya kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwapo.


WAPENZI, msiamini kiila rolio, bali zijaribuni roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uwongo wengi wametokea duniani.


Akaniambia, Haya ni maneno ya uaminifu na ya kweli. Na Bwana Mungu wa manabii watakatifu alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake mambo ambayo hayana buddi kuwa upesi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo