Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Lakini mwingine aliyeketi, akifunuliwa neno, yule wa kwanza na anyamaze.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Ikiwa mmoja anaposema na mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Ikiwa mmoja anaposema na mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Ikiwa mmoja anaposema na mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kama mtu yeyote aliyeketi karibu, akipata ufunuo, basi yule wa kwanza na anyamaze.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kama mtu yeyote aliyeketi karibu, akipata ufunuo, basi yule wa kwanza na anyamaze.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Imekuwaje bassi, ndugu? Mkutanapo pamoja, killa mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana lugha, ana ufunuo, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga.


Na manabii wanene wawili, au watatu, na wengine wapamhanue.


Kwa maana nyote mwaweza kukhutubu mmoja mmoja, illi wote wapate kujifunza, na wote wafarijiwe.


Bassi, ndugu, nikija kwenu na kunena kwa lugha, nitawafaidia nini, isipokuwa nanena nanyi kwa njia ya ufunuo, au kwa njia ya elimu, au kwa njia ya khotuba, au kwa njia ya fundisho?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo