1 Wakorintho 14:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 Imeandikwa katika torati ya kama, Nitanena na watu hawa kwa watu wa lugha nyingine, na kwa midomo ya wageni, na hatta hivi hawatanisikia, asema Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Imeandikwa katika sheria: “Bwana asema hivi: ‘Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Imeandikwa katika sheria: “Bwana asema hivi: ‘Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Imeandikwa katika sheria: “Bwana asema hivi: ‘Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Katika Torati imeandikwa kwamba: “Kupitia kwa watu wenye lugha ng’eni na kupitia midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, lakini hata hivyo hawatanisikiliza, asema Mwenyezi Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Katika Torati imeandikwa kwamba: “Kupitia kwa watu wenye lugha ng’eni na kupitia midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, lakini hata hivyo hawatanisikiliza,” asema Bwana Mwenyezi Mungu. Tazama sura |