Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Vivyo hivyo na ninyi, kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za roho, takeni mzidi sana kuwa nazo illi kulijenga Kanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Hali kadhalika na nyinyi, maadamu mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Hali kadhalika na nyinyi, maadamu mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Hali kadhalika na nyinyi, maadamu mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Vivyo hivyo na ninyi. Kwa kuwa mnatamani kuwa na karama za rohoni, jitahidini kuzidi sana katika karama kwa ajili ya kuwajenga waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Vivyo hivyo na ninyi. Kwa kuwa mnatamani kuwa na karama za rohoni, jitahidini kuzidi sana katika karama kwa ajili ya kulijenga kundi la waumini.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kama ni hivyo, tufuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.


Na tena nawaonyesha njia iliyo bora sana.


Lakini killa mmoja hupewa ufunuo wa Roho illi kufaidia.


UFUATIENI upendo, katakeni sana karama za rohoni, lakini zaidi mpate kukhutubu.


Kwa hiyo yeye anenae kwa lugha na aombe apewe kufasiri.


Imekuwaje bassi, ndugu? Mkutanapo pamoja, killa mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana lugha, ana ufunuo, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga.


Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kukhutubu; maana yeye akhutubuye ni mkuu kuliko yeye anenae kwa lugha, isipokuwa afasiri, illi kusudi Kanisa lipate kujengwa.


aliyejitoa nafsi yake kwa ajili yetu, illi atuokoe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake, walio na juhudi kwa matendo mema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo