Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Bassi nisipojua maana ya ile sauti nitakuwa mshenzi kwake yeye anenae; nae atakuwa mshenzi kwangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Basi kama sielewi maana ya hiyo sauti, nitakuwa mgeni kwa yule msemaji, naye atakuwa mgeni kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Basi kama sielewi maana ya hiyo sauti, nitakuwa mgeni kwa yule msemaji, naye atakuwa mgeni kwangu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Washenzi wakatufanyia fadhili zisizokuwa za kawaida. Kwa maana walikoka moto, wakatukaribisha sote, kwa sababu ya mvua iliyokunywa na kwa sababu ya baridi.


Washenzi walipomwona yule nyoka akimwangikia mkono, wakaambiana, Hakosi mtu huyu ni muuaji; na ijapokuwa ameokoka katika bahari, haki haimwachi kuishi.


Nawiwa na Wayunani na washenzi, nawiwa na wenye hekima na wajinga.


Yumkini ziko sauti za namna nyingi duniani, wala hapana moja isiyo na maana.


Imeandikwa katika torati ya kama, Nitanena na watu hawa kwa watu wa lugha nyingine, na kwa midomo ya wageni, na hatta hivi hawatanisikia, asema Bwana.


Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mshenzi wala Mskuthi, mtumwa wala mungwana, bali Kristo ni yote, na katika wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo