Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 UFUATIENI upendo, katakeni sana karama za rohoni, lakini zaidi mpate kukhutubu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Fuateni upendo na kutaka sana karama za roho, hasa karama ya unabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Fuateni upendo na kutaka sana karama za roho, hasa karama ya unabii.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:1
29 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii, tutoe unabii kwa kadiri ya imani;


Bassi kama ni hivyo, tufuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.


Tuseme nini, bassi? Ya kwamba watu wa mataifa, wasioifuata haki, walipata haki; yaani ile haki iliyo ya imani;


KWA khabari za karama za roho, ndugu, sitaki mkose kufahamu.


Na tena nawaonyesha njia iliyo bora sana.


Bassi, sasa inabaki imani, tumaini, upendo, hizi tatu; na iliyo kuu katika hizi ni upendo.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama simi upendo, si kitu mimi.


Bassi, lugha ni ishara, si kwao waaminio, bali kwao wasioamini. Lakini kukhutuhu si kwa ajili yao wasioamini, bali kwa ajili yao waaminio.


Mtu akijiona kuwa nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue haya ninayowaandikieni, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Kwa ajili ya hayo, ndugu, takeni sana kukhutubu, wala msikataze kunena kwa lugha.


Mambo yenu yote yatendeke katika upendo.


Atukuzwe Mungu, Baba yake Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani ya Kristo;


Usiache kuitumia ile karama iliyo udani yako uliyopewa wewe kwa unabii, na kwa kuwekewa mikono ya wazee.


na kushuhudiwa kwa matendo mema; ikiwa amelea watoto, ikiwa amekaribisha wageni, ikiwa amewaosha watakatifu miguu, ikiwa amewasaidia wateswao, ikiwa amefuata killa tendo jema.


Bali wewe, mtu wa Mungu, yakimbie hayo, ukafuate haki, utawa, imani, upendo, uvumilivu, upole.


Lakini zikimbie tamaa za ujana; nkafuate haki, na imani, na uaminifu, na upendo, na amani, pamoja na hao wamwitiao Bwana kwa moyo safi.


Fanyeni bidii kutafuta amani kwa watu wote, na utakatifu, ambao hapana mtu atakaemwona Mungu asipokuwa nao;


na katika utawa wenu upendano wa ndugu, na katika upendano wa ndugu, upendo.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali wema. Yeye atendae mema ni wa Mungu, bali yeye atendae mabaya hakumwona Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo