Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 13:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 13:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu: wala hakuna mtu amjuae Mwana, illa Baba; wala hakuna mtu amjuae Baba illa Mwana, na ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani aliyekuwa mshauri wake?


lakini ijapo iliyo kamili, iliyo kwa, sehemu itabatilika.


Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule uso kwa uso: wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana jinsi ninavyojuliwa na mimi sana.


lakini, kama ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, Wala hayakuingia katika moyo wa kibinadamu, Mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao.


Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lo lote bado, kama impasavyo kujua.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii, kuwakhubiri Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


Wapenzi, sasa tu wana wti Mungu, wala haijadhihirika bado tutakidokuwa: lakini twajua ya kuwa akidhihiri, tutafanana nae; kwa maana tutamwona kama alivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo